![Baharia TV](/img/default-banner.jpg)
- Видео 4 883
- Просмотров 12 566 618
Baharia TV
Танзания
Добавлен 23 ноя 2021
KANUNI NA MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
Baharia TV inamilikiwa na kampuni ya BAHARIA MEDIA GROUP LTD.
Hiki ni chombo rasmi kwa ajili ya kutoa habari ndani na nje ya Tanzania, Habari za kisiasa, kiuchumi, Kijamii na michezo, tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
A. Kuripoti habari za ukweli
B. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu
C. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
D. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi
MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
A. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
B. Baharia TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali
C. Baharia TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote
D. Baharia TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
Mawasiliano:
0620400226
Baharia TV inamilikiwa na kampuni ya BAHARIA MEDIA GROUP LTD.
Hiki ni chombo rasmi kwa ajili ya kutoa habari ndani na nje ya Tanzania, Habari za kisiasa, kiuchumi, Kijamii na michezo, tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
A. Kuripoti habari za ukweli
B. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu
C. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
D. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi
MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
A. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
B. Baharia TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali
C. Baharia TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote
D. Baharia TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
Mawasiliano:
0620400226
Видео
"Bado Hatujamalizana Wee mtoto MBOWE AJAWA NA HASIRA NA CCM //AMTUMIA SALAMU MBAYA MCHUNGAJI MSIGWA
Просмотров 6
"Bado Hatujamalizana Wee mtoto MBOWE AJAWA NA HASIRA NA CCM //AMTUMIA SALAMU MBAYA MCHUNGAJI MSIGWA
Jamaani jamani!! GODBLESS LEMA ALIVYOCHARUKA LEO Usipime!!! AFUMUKA VIBAYA MNO
Просмотров 112Час назад
Jamaani jamani!! GODBLESS LEMA ALIVYOCHARUKA LEO Usipime!!! AFUMUKA VIBAYA MNO
WAKILI MADELEKA APIGIA KELELE SAKATA LA "SATIVA"//AWAPIGA MANENO POLISI
Просмотров 133Час назад
WAKILI MADELEKA APIGIA KELELE SAKATA LA "SATIVA"//AWAPIGA MANENO POLISI
"Imenisikitisha Sana!!! UMEUNGANA NA MAADUI WANGU Nitakuonyesha MOTO" KAULI YA LISSU KWA MSIGWA
Просмотров 7566 часов назад
"Imenisikitisha Sana!!! UMEUNGANA NA MAADUI WANGU Nitakuonyesha MOTO" KAULI YA LISSU KWA MSIGWA
"NITAZUNGUKA TANZANIA NZIMA KUFICHUA MAOVU YA CHADEMA NA MBOWE" MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MENGINE
Просмотров 44612 часов назад
"NITAZUNGUKA TANZANIA NZIMA KUFICHUA MAOVU YA CHADEMA NA MBOWE" MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MENGINE
Mamaa!! MCHUNGAJI MSIGWA Hapoi!! ATANGAZA KUGOMBEA UBUNGE IRINGA KUPITIA CCM /MIKWARA MIZITO CHADEMA
Просмотров 6212 часов назад
Mamaa!! MCHUNGAJI MSIGWA Hapoi!! ATANGAZA KUGOMBEA UBUNGE IRINGA KUPITIA CCM /MIKWARA MIZITO CHADEMA
SAKATA LA SATIVA LAMNYANYUA ZITTO KABWE //ALIVYOMPIGIA SIMU RAIS SAMIA //AFUNGUKA
Просмотров 16612 часов назад
SAKATA LA SATIVA LAMNYANYUA ZITTO KABWE //ALIVYOMPIGIA SIMU RAIS SAMIA //AFUNGUKA
"Huo Ni UJINGA MSIGWA KAULI ZAKO ZAKUTAPATAPA TU" SILVATORY ADAI MBOWE MWENYEKITI MAKINI
Просмотров 1,1 тыс.13 часов назад
"Huo Ni UJINGA MSIGWA KAULI ZAKO ZAKUTAPATAPA TU" SILVATORY ADAI MBOWE MWENYEKITI MAKINI
"KWA HILI POLISI MMECHAFUKA Balaa!! SAKATA LA KUTEKWA SATIVA LAMNYANYUA TENA WAKILI MWABUKUSI
Просмотров 2,4 тыс.14 часов назад
"KWA HILI POLISI MMECHAFUKA Balaa!! SAKATA LA KUTEKWA SATIVA LAMNYANYUA TENA WAKILI MWABUKUSI
Jipya; RAIS SAMIA AGUSWA NA KUTEKWA "SATIVA" ACHANGIA MIL. 35 ZA MATIBABU //WAPINZANI ATIA NENO ZITO
Просмотров 82314 часов назад
Jipya; RAIS SAMIA AGUSWA NA KUTEKWA "SATIVA" ACHANGIA MIL. 35 ZA MATIBABU //WAPINZANI ATIA NENO ZITO
MWANACHAMA WA CHADEMA ATEKWA HANDENI //GODBLESS LEMA ATEMA CHECHE MBELE YA MBOWE
Просмотров 27415 часов назад
MWANACHAMA WA CHADEMA ATEKWA HANDENI //GODBLESS LEMA ATEMA CHECHE MBELE YA MBOWE
CCM Pamewaka 10 WATEULIWA KUWANIA UENYEKITI CCM NA UCCM //MAJINA YAWEKWA HADHARANI
Просмотров 5015 часов назад
CCM Pamewaka 10 WATEULIWA KUWANIA UENYEKITI CCM NA UCCM //MAJINA YAWEKWA HADHARANI
KWA MARA YA KWANZA WAKILI MWABUKUSI AFUNGUKA KUCHAGULIWA KUWANIA URAIS TLS
Просмотров 32215 часов назад
KWA MARA YA KWANZA WAKILI MWABUKUSI AFUNGUKA KUCHAGULIWA KUWANIA URAIS TLS
WAKILI MWABUKUSI AMPASUA TENA SPIKA TULIA KISA MBUNGE MPINA //AUKATAA UNYONGE LIVE
Просмотров 5 тыс.16 часов назад
WAKILI MWABUKUSI AMPASUA TENA SPIKA TULIA KISA MBUNGE MPINA //AUKATAA UNYONGE LIVE
"MSIGWA ALITUMIKIA MABWANA WAWILI KWA WAKATI MMOJA" SILVATORY AMCHAKAZA VIBAYA MNO MCHUNGAJI MSIGWA
Просмотров 1,4 тыс.2 часа назад
"MSIGWA ALITUMIKIA MABWANA WAWILI KWA WAKATI MMOJA" SILVATORY AMCHAKAZA VIBAYA MNO MCHUNGAJI MSIGWA
"Ni HAKI YAKE KUONDOKA CHADEMA HATA KAMA INAWAUMIZA" WAKILI MWABUKUSI APELEKA MWIBA MCHUNGU CHADEMA
Просмотров 9 тыс.2 часа назад
"Ni HAKI YAKE KUONDOKA CHADEMA HATA KAMA INAWAUMIZA" WAKILI MWABUKUSI APELEKA MWIBA MCHUNGU CHADEMA
BREAKING: CHAMA ATIMKIA YANGA //YANGA YAMTANGAZA RASMI //SIMBA WAENDELEA NA VIKAO JUU YAKE
Просмотров 2754 часа назад
BREAKING: CHAMA ATIMKIA YANGA //YANGA YAMTANGAZA RASMI //SIMBA WAENDELEA NA VIKAO JUU YAKE
MCHUNGAJI ALIYEMZALISHA MAMA KWA MAOMBI AFUKUZWA KIJIJINI NA DC //APELEKEA MTOTO KUFARIKI DUNIA
Просмотров 1294 часа назад
MCHUNGAJI ALIYEMZALISHA MAMA KWA MAOMBI AFUKUZWA KIJIJINI NA DC //APELEKEA MTOTO KUFARIKI DUNIA
WATOTO WALIOFARIKI KWA AJALI IRINGA WAZIKWA //MASHUHUDA WATETA JAMBO
Просмотров 1374 часа назад
WATOTO WALIOFARIKI KWA AJALI IRINGA WAZIKWA //MASHUHUDA WATETA JAMBO
"CHOMENI NYUMBA ZANGU NA MAGAR YANGU NIKIHAMIA CCM" MANENO YA MWISHO YA MCHUNGAJI KUHUSU KUHAMIA CCM
Просмотров 5 тыс.4 часа назад
"CHOMENI NYUMBA ZANGU NA MAGAR YANGU NIKIHAMIA CCM" MANENO YA MWISHO YA MCHUNGAJI KUHUSU KUHAMIA CCM
"SERIKALI YA CCM IMECHOKA" MBOWE AMECHARUKA HUKO /)AANZA NA PATI LA TAIFA
Просмотров 7044 часа назад
"SERIKALI YA CCM IMECHOKA" MBOWE AMECHARUKA HUKO /)AANZA NA PATI LA TAIFA
"NITAKATA RUFAA YA ADHABU YANGU" MPINA ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE NA BODI YA SUKARI
Просмотров 1874 часа назад
"NITAKATA RUFAA YA ADHABU YANGU" MPINA ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE NA BODI YA SUKARI
MPINA AWAVURUGA TENA CCM //AWACHAKAZA VIBAYA MNO BASHE NA MSUKUMA //ATEMA SUMU MCHANA Kweupee!!!
Просмотров 1,6 тыс.4 часа назад
MPINA AWAVURUGA TENA CCM //AWACHAKAZA VIBAYA MNO BASHE NA MSUKUMA //ATEMA SUMU MCHANA Kweupee!!!
"MIMI NIMEFUKUZWA KAMA MBWA BUNGENI" MPINA AMTETA SPIKA TULIA //ADAI ALMUACHA MWIGULU ALISEMA UGANGA
Просмотров 1794 часа назад
"MIMI NIMEFUKUZWA KAMA MBWA BUNGENI" MPINA AMTETA SPIKA TULIA //ADAI ALMUACHA MWIGULU ALISEMA UGANGA
MPINA Bila woga AMSEMA TENA SPIKA TULIA "AMEKUWA AKINIONEA MARA KWA MARA BUNGENI"
Просмотров 2494 часа назад
MPINA Bila woga AMSEMA TENA SPIKA TULIA "AMEKUWA AKINIONEA MARA KWA MARA BUNGENI"
"MSIGWA NI MSALITI WA CHADEMA" MARTIN MASESE ATEMA CHECHE Balaa!!! //ALISALITI CHADEMA MUDA SANA
Просмотров 3,3 тыс.4 часа назад
"MSIGWA NI MSALITI WA CHADEMA" MARTIN MASESE ATEMA CHECHE Balaa!!! //ALISALITI CHADEMA MUDA SANA
"AMEKIMBIA UHARIFU WA CHADEMA" WAKILI MWABUKUSI AMKINGIA KIFUA MCHUNGAJI MSIGWA /ATAJA MAOVU CHADEMA
Просмотров 7 тыс.4 часа назад
"AMEKIMBIA UHARIFU WA CHADEMA" WAKILI MWABUKUSI AMKINGIA KIFUA MCHUNGAJI MSIGWA /ATAJA MAOVU CHADEMA
"SPIKA TULIA UNACHUKI SANA NA WAPINZANI BUNGENI" HECHE AMUUMBUA TULIA //AMPA HONGERA MPINA KUMUUMBUA
Просмотров 9074 часа назад
"SPIKA TULIA UNACHUKI SANA NA WAPINZANI BUNGENI" HECHE AMUUMBUA TULIA //AMPA HONGERA MPINA KUMUUMBUA
"Nimeumia sana" GODBLESS LEMA AUMIZWA NA TAARIFA ZA MCHUNGAJI MSIGWA KUHAMIA CCM //ATAMANI HAYA
Просмотров 13 тыс.4 часа назад
"Nimeumia sana" GODBLESS LEMA AUMIZWA NA TAARIFA ZA MCHUNGAJI MSIGWA KUHAMIA CCM //ATAMANI HAYA
"AMEKIGEUZA CHAMA KUWA SACCOS AMEJIWEKA UWENYEKITI WA MAISHA" MBOWE AYAKANYAGA KWA MCHUNGAJI MSIGWA
Просмотров 4424 часа назад
"AMEKIGEUZA CHAMA KUWA SACCOS AMEJIWEKA UWENYEKITI WA MAISHA" MBOWE AYAKANYAGA KWA MCHUNGAJI MSIGWA
Mahaunevu yana mwisha uwanja ni ya umaa
4R
peter nakushauri urudi ,utakufa kihoro we kweli was kwenda huko! hats yaliyompata Tundu hukumbuki
Me naona shida ni katiba 2 ila Kama ww wakil msaidie kulud bungeni mpina
mzee wa kazi pole sana,ila ukweli CHADEMA uongozi wa juu kuna shida.1.Ubinafsi wa Mh Mbowe ajenge taasisi sio kuigeuza sacoss yake.2.Mhe Lisu ni mtu intelligent sana na mkweli,amelalamika sana hivi majuzi kuwa CHADEMA imepewa hongo kubwa,na akaonya pesa hizo akiziita za Mama Abdul hazitawaacha salama.3.Kina Halima Mdee na wenzie swala likoje?CHADEMA shida ipo kubwa japo CCM kuna majizi na mafisadi
Sasa singida ulienda kufanya nini msariti Sana msigwa kawavua nguo wahehe
Usaliti hautokani na kabila ni hurka ya mtu mwenyewe
Usizunguke mbuyu Mwabukusi, tatizo sio kikosi kazi, tatizo oder
The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.
Uliwahi kuwa mbunge au spika .Acha kujimwambafai huna lolote
Msigwa unakula matapiishi yako
MIE NASEMA WATANZANIA WENGI ATUFIKIRIE KABLA YA KUSEMA HILI NDIO TATAIZO LA WENGI
Hakuna aliepinga kuhama, tatizo maneno, akikaa kimya hakuna atakaemsema
Hoja za Mwabukusi Hua zimenyooka kama rula.
Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi
Siku zikifika nawao nao watafanyiwa hivi hivi na familia zao saadamu alijificha kwenye shimo ndio Kwa maana watu wanalipizaga kisasi
Usidhan watanzania bado ni wajinga kwamba hawaelewi
Mawakili kwa nini hamwendi Mahakamani kutafuta tafsiri?
Maandamano yaanzie hapo tusikubali kwa haya jamani tujaribu kuona LA kufanya..
😂😂 we JICHANGANYE niko palee hii SIO KENYA brow
Wapigaji wa risasi ni nani kama siyo walewale hawataki kukosolewa
Ameanza kusifiasifia tayari umekuwa msukule wa fisiemu kwa hiyo unafurahia wananchi tuuzwe mpka figo
Mafisiemu yanaponda. Mawe mti wenye matunda
Ukweli nilimwamini msigwa kumbe ni kenge na mamuma wa kutupwa hta kauli yake na sura ya msigwa alionekana kama katuni mpaka hoja anaandikiwa aongee pumbavu sana msigwa amepotea kusema ety cdm ni waovyu kuliko ccm jinga kabisa
Msigwa. Ni usaliti tu. Kwani huko ulikoenda kuna malaika tu?
Ninawaelewa Sana
Mpina kaonewa..
Bashe ni mpigaji tu..
Spika ni kichwa maji.
Wakina mwakabusi.Tanzania.inawategemea.kwanini usisimame kati.ya spika na mpina usipende kusimama.upande moja mwakabusi Mungu.alikuamini funguka saizi.kipindi.tulichonacho dunia imesaini ushoga tulipo.sipo.uangaliage na upande wa.kwanza.wa Mungu
Ukute walivaa nguo.za.jeshi.ili.kuichafua selikari.ila.Tanzania ina.Mungu.anaabudiwa
Asante mwabukusi. You are among the best few. Ukiongea i pay attention. Na unaeleweka clearly
Asante mwabukusi. You are among the best few. Ukiongea i pay attention. Na unaeleweka clearly
Kwanini mnatuteka sipati jibu dunia himekuwa ya kinyama hivi amani ikowapi sasa mnayo hubili kila kukicha mungu tusaidie tuiyondowe hili jini ccm jini linatumsliza
Mie hiku kitu kinanikera kwanini watu wanatekwa sanaaaa kwa kweli kwa hali kama hii siyo nzuri jamani malalamiko yamezidi sanaaaa
Razima raisi kuchangia kwani wahusika ni haohao vijana wake polisi sasa mutambuwe kuwa mungu yupo serikali inazidi kuumbuka kwa uhalifu huu wakikatili ccm mjuwe hawa ni binadamu kuwateka na kuwapoteza ni zambi kubwa hivi nyinyi watekaji amtakufa mnazani mtaishi milele unyama huu unamwisho mkumbuke kenya wameamuwa nasisi watanganyika ndiko mnako tupeleka watanzania amani mnaivunja nyiye wenyewe ccm na serikali yenu sasa watananzani tunamaumivu kotekote maisha magumu kodi kibao kutekwa sisi sasa tutafute njia ya kujilimda nia ipo bora kenya iamie tanganyika tuiyondowe ccm hii ya kikatili tujifunze kulipiza na sisi
Ujawi kuongea ujinga sema unao wambia
Wote hawa wana siasa wa upinzani ni CCM B na wanakula pasa ya CCM hata mwenyekitj alipewa milioni 150.
Milioni 150
MSIGWA KAMA UNAZO AKILI TIMAMU NAKUSHAURI ACHANA KABISA NA UNACHOTAKA KUKIFANYA!!! MPAKA SASA UMUEDHARIRISHA UCHUNGAJI!!! SISEMI MCHUNGAJI KUWA MWANASIASA NI DHAMBI LA HASHAL ILA MCHUNGAJI UKITAKAKUWA KUWA MWANA SIASA USIWE NA TAMAA YA MALI (FEDHA) NA MADARAKA KAMA WEWE ULIVYO!!!! MWISHO NAKUHAKIKISHIA CHADEMA CHINI YA MH. MBOWE NA KIKOSI CHAKE HUIWEZI KAMWE! TULIA ULE MAKOMBO YA MAFISADI WAKO.
Msigwa unatamaa ya madaraka na pesa.
Kama anadhania huko alikokimbilia ndiko kwa atapata anahitaji angejiuliza ya NYALANDU ikoniaje.
Country gone to the dogs
Musigwa. Kudakom
Heeeeeee jamaan, pole sana ndugu yetu, Mungu ndiye mweza mkubwa
Mwambukusi big up uwe unatoa no zako kna watu Mambo hayapo sawa mtu hajui aanzie wapi
Inatakiwa ajiuzulu sio aunde tume hizo tume inasaidiya nini?
Huu ni unyama na matumizi mabaya ya Kodi zetu
Wacha ujinga wa fanya kazi yako ww wacha kuweweseka na kuwaza uwaziri
Mkitaka Ccm Watueshimu Tuingie Barabarani Kama Kenya Bila Ivyo Tujiandae Kutekwa WOTE
TOFAUTISHA TZ NA KENYA MAN WE JICHANGANYE UONE
Asante sana umeelewa. Huyu Msigwa kwa upande wangu CCM wamepokea garasha. Hakuna mtu anayeweza kuongoza chama vizuri kama Mbowe. SNA HEKMA NA MSIKIVU.
Mh
YAANI NAKUKUBALI SANA. ILA JUZI IMENIVUNJA MOYO KUMTETEA MSIGWA KUAMIA CVM!!! NA KUSEMA WAXURI MARANYINGINE HUWA WANAWAACHA WABOVU!!! JE UNAIMANI I UKO ALIKOKWENDA NDO WANAFANYA VIZURI!? MNONA KILA CKU HUWA UNAWALALAMIKIA KILA CK HUKO ALIKOKWENDA? MWABUKUSI HAPO IMENIVUNJA MOYO!!!